Introduction
Ujenzi makini Tanzania tunajihusisha na ujenzi wa mashimo ya choo Cha kisasa yasiyojaa maji taka. Kwa gharama rafiki sana, pia tunatoa huduma zifuatazo kuweka mfumo wa mabomba ya maji safi na maji taka pamoja na mfumo wa umeme. Huduma ni bora karibu tukuhudumie
0764818581 / 0710765100
Task
Tunafanya kazi ndani ya Daresalaam na nje ya Daresalaam hizi ni baadhi ya kazi tumezofanya; 👉 https://www.instagram.com/p/CmqyoNvI7qU
Na Facebook tupo 👉 https://m.facebook.com/story.php?story_fbid=pfbid02sozs5yGLGQZDrbDBmGYLeUoz2wCB82qdtev28PAcDyQAiFk2e2BQgZnivVvMmQhHl&id
Facebook na Instagram tunapatikana kwa jina la UJENZI MAKINI TANZANIA.
Process
Utaratibu wa kazi na gharama zake.
Gharama ni 700,000/ mteja utaandaa vifaa ambavyo utatajiwa au 1,300,000/ hapa tutaandaa kila kitu sisi.... Kazi inafanyika ndani ya siku 5 tu kama hakutatokea changamoto yoyote.
Evaluation
Mteja kwetu ni boss, kwa kazi nzuri na bora Karibu ujenzi makini Tanzania.
Conclusion
Mwisho kama sio tumemaliza kila kitu. Ujenzi makini Tanzania Huwa tunatoa OFA mteja akimleta mteja atapata kifuta jasho 100,000/ papo hapo baada ya makubaliano